• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
        • Elimu ya Msingi Michezo na Utamaduni
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya jamii na Ustawi wa Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Elimu Msingi na Utamaduni

MAJUKUMU YA IDARA.

  • Kusimamia uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la Kwanza na Awali
  • Kuendesha usajili wa watahiniwa wa mtihani wa kumaliza Elimu ya msingi na mtihani wadarasa la IV
  • Kusimamia uendeshaji wa taaluma shuleni kwa kuangalia
  • Tendozima la ujifunzajinaufundishaji
  • Upatikanaji na utumiaji bora wa zana za kujifunzia na kufundishia
  • Mahudhurio ya wanafunzi na walimu
  • Upimaji uliosahihi wa ujifunzaji wa wanafunzi

Majukumu

  • Kuratibu shughuli za Elimu ya watu wazima (MUKEJA, MEMKWA, S/KIMU na UFUNDI STADI)
  • Kuratibu na kusimami aElimu maalum.
  • Kupokea na kuzifanyia kazi taarifa za ukaguzi
  • Kurekebishaikamayawalimu
  • Kushughulikia likizo za walimu
  • Kusimamia upatikanaji na utumiaji wa miundombinu ya shule
  • Kuratibu na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa walimu
  • Kusimamia uendeshaji wa mitihani ya kumaliza Elimu ya msingi naya darasa la nne na ufundi
  • Kusimamia uendeshaji wa michezo mbalimbali shuleni (UMITASHUMTA)
  • Kuratibu na kusimamia matumizi ya fedha za ruzuku ya uendeshaji
  • Kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya kielimu
  • Kusimamia ukusanyaji, uhifadhi na utoaji wa takwimu sahihi za kielimu kwa kutumia mfumo wa BEMIS
  • Kusimamia utoajiwa Elimu kwa kusisitiza umahiri wa kujuwa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa kuzingatia utumiaji wa

         zana bora zakujifunzia na kufundishia. Mfano Kompyuta Mpakato (Laptop) na ufundishaji kwa kutumia Power Point kwa madarasa ya I na II

  •  Kuhakikisha wanafunzi wote kuanzia Awali na Msingi wanakalia madawati wakati wa masomo ya darasani. 

Manispaa ya Moshi ina jumla ya shule 50 zikiwemo 35 za Serikali na 15 zisizo za Serikali. Katika Shule za Msingi kuna Shule 5 zenye Vitengo Maalumu kwa wanafunzi wenye ulemavu wa akili na wasioona na 1 ya viziwi.

Elimu ya Awali

Manispaa ya Moshi ina jumla ya shule 51 za elimu ya awali zikiwemo 35 za Serikali na 16 zisizo za Serikali.


Matangazo

  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 MANISPAA YA MOSHI December 18, 2020
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • SAKATA LA WIZI TAA ZA BARABARANI MEYA MOSHI AHAIDI DONGE NONO

    December 07, 2020
  • MSTAHIKI MEYA AWAHAKIKISHIA MADIWANI NA WATENDAJI USHIRIKIANO

    December 04, 2020
  • MANISPAA YA MOSHI YAFANIKIWA KUTOA MIKOPO YA ZAIDI BIL 1.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO

    October 23, 2020
  • MANISPAA YA MOSHI YAFANIKIWA KUTOA MIKOPO KWA ASILIMIA MIA MOJA

    July 02, 2020
  • Tazama

video

videos

Kurasa za Karibu

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi