• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi na Utamaduni
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Idara ya Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ununuzi na Ugavi
      • Teknolojia,Habari,Mawasiliano na Uhusiano
      • Uchaguzi
    • Muundo wa kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Videos

Miradi inayoendelea

1.0 UTANGULIZI

Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini ulianza Mwezi Julai, 2015 ambapo jumla ya Kaya 2691 zilitambuliwa na kuthibitishwa na mikutano ya wananchi wa mitaa husika. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inatekeleza kipengele kimoja cha mpango ambacho ni Uhawilishaji wa Fedha. Kaya 2691 zilianza uhawilishaji wa fedha kipindi cha Julai, 2015 hadi sasa jumla ya kaya 1490 zimesalia baada ya kaya zingine kuondolewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo na kuhama kwa walengwa.

2.0 UHAWILISHAJI WA FEDHA KWA KAYA MASKINI.

Manispaa ya Moshi kupitia TASAF awamu ya tatu  imepokea jumla ya kiasi cha fedha 1,370,868,022.94  katika kipengele cha uhawilishaji fedha kimefanyika kwa mizunguko 15 na jumla ya TZS 1,223,577,977.27 zimeawilishwa kwa walengwa waliopo katika mpango kwa mitaa 35. Kiasi kilichobaki ni kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za Mpango.

3.0 MAFANIKIO

Kuboreka kwa lishe kutoka lishe duni kwenda lishe bora na idadi ya milo toka mmoja hadi mitatu na zaidi kwa Kaya.

Kuongezeka kwa mahudhurio ya wanafunzi shuleni na Mahudhurio ya watoto Kliniki kutokana na ruzuku ya utimizaji wa masharti ya elimu na afya

Kaya Maskini kuchangia na kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (TIKA), CHF jumla ya kaya 649.

Walengwa 673 wanajishughulisha na biashara ndogondogo, walengwa 309 wanajishughulisha na kilimo, 256 wanajishughulisha na ufugaji na walengwa 163 wamejiunga na vikundi vya kuweka na kukopa.

Walengwa kupata elimu kupitia maafisa ugani inayohusiana na Kilimo,ufugaji na Lishe katika kila dirisha la Malipo.

4.0 CHANGAMOTO

Baadhi ya wazazi kutaja majina ya watoto ambayo hayatumiki shuleni hivyo kusababisha usumbufu kwa ujazaji wa fomu za utimizaji wa masharti ya elimu na afya.

Kukosekana kwa mtandao baadhi ya muda kunapelekea kuchelewa kwa malipo ya walengwa.

Malalamiko ya wananchi wanaotaka kuwemo katika mpango ili waweze kunufaika na mpango.

5.0 MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO

 

Wazazi wameelimishwa kutoa taarifa sahihi ili kusaidia kurekebisha taarifa za watoto na kufanikisha lengo la utimizaji wa masharti ya afya na elimu.

Mawasiliano na Mtaalam wa mifumo ngazi ya Halmashauri,Mkoa na TAMISEMI ili kutatua tatizo la mtandao.

Mawasiliano na TASAF Makao Makuu ili waweze kufanya zoezi la utambuzi upya kwa kaya ambazo hazipo katika mpango.

Matangazo

  • TANGAZO LA USAFI WA MAZINGIRA March 28, 2018
  • TANGAZO MAEGESHO YA MAGARI March 27, 2018
  • Boda Boda na Bajaji February 02, 2018
  • Stika za Magari ya Biashara February 02, 2018
  • Tazama

Habari Mpya

  • HALMASHAURI ZAJIFUNZA SIRI YA MAFANIKIO YA USAFI

    March 26, 2018
  • MILA KANDAMIZI ZINAWANYIMA WANAWAKE FURSA

    March 08, 2018
  • BAJETI YA ZAIDI YA SH. BILIONI 48 YAPITISHWA KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

    March 01, 2018
  • VIKUNDI 38 VYA WANAWAKE NA VIJANA VYAPATIWA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 189

    March 01, 2018
  • Tazama

video

Raisi akihutubia
videos

Kurasa za Karibu

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi